Habari kuhusu Uganda

Kwa nini Rwanda Inaituhumu Ufaransa Kusaidia Mauaji ya Kimbari ya 1994

  8 Aprili 2014

Wakati Rwanda ikiwakumbuka waathirika wa mauaji ya kimbari yalitokea miaka 20 iliyopita, Rais Kagame anasema tena kuwa Ufaransa lazima “ikabiliane na ukweli mgumu” wa kukiri kushiriki kwenye mauaji hayo ya mwaka 1994 [fr]. Kama matokeo ya matamshi hayo, serikali ya Ufaransa imesusia matukio yote ya kukumbuka mauaji hayo na waziri...

Uchambuzi zaidi Kuhusu Muswada wa Kupinga Ushoga Nchini Uganda

  18 Machi 2014

Kristoff Titeca anaangalia mbali zaidi ya sababu moja kuhusiana na muswada wa kupinga ushoga nchini Uganda: Pointi muhimu ni kuwa Rais Museveni hajawahi kuwa shabiki mkubwa wa muswada huu na badala yake amekuwa mtu wa kuutilia mashaka: alikuwa anafahamu matokeo mabaya kimataifa. Katika majibu yake ya wazi kwa mara ya...

Maadhimisho ya Miaka Miwili ya Kampeni ya Kony 2012

  12 Machi 2014

Machi 5, 2014 ni siku ambayo maandimisho ya miaka miwili ya kampeni ya KONY 2012 yalifanyika: Miaka miwili iliyopita tulianzisha kampeni inayoitwa KONY 2012. Ilikuwa ni jaribio la kuona kama dunia ilikuwa tayari kuungana na kuongea dhidi ya uhalifu wa kutishia usio onekana wa Joseph Kony na LRA. Ulimwengu ulikuwa...

MATOKEO: Tuzo za Kwanza za Uandishi wa Kiraia Kuwahi Kutolewa Uganda

  25 Novemba 2013

Tuzo za kwanza za uandishi wa kiraia nchini Uganda (SMAs) zilitolewa kwa mara ya kwanza Novemba 15, 2013 kwenye kituo cha Teknolojia kiitwacho The Hub, kwenye mtaa wa maduka ya Oasis jijini Kampala, Uganda. Malengo ya tuzo hizo, ambayo iliandaliwa na BluFlamingo, yalikuwa: Tuzo hizi za Uandishi wa habari za...

Fuatilia SafariYaGariAfrika Mtandaoni

  7 Oktoba 2013

Kikundi cha watengenezaji na wabunifu wa teknolojia kutoka Ulaya ambao wanadadisi ukuaji wa vituo vya teknolojia barani Afrika wanaendelea na safari yao ya gari barani humu. Tazama blogu yao au Tumblr na ufuatilie mjadala kuhusu safari yao kwenye mtandao wa Twita.

Uganda: Hatimaye Magazeti Yaliyofungiwa na Polisi Yafunguliwa

  5 Juni 2013

Uganda imeruhusu magazeti mawili kufunguliwa tena baada ya msuguano uliodumu kwa siku 11 kati ya serikali na vyombo vya habari juu ya barua yenye waliyoipata ambayo iliyoonyesha njama ya kumtayarisha mtoto wa kwanza wa Rais Yoweri Museveni kumrithi kiongozi huyo aliyedumu kwa miaka 27.

Uganda: Kukumbuka milipuko ya mabomu ya 2010

  28 Aprili 2013

Wananchi wa Uganda wameutumia mtandao wa Twita na Facebook kuwakumbuka wahanga 2010 wa milipuko yha mabomu iliyotokea kwenye klabu ya Rugby huko Kyaddondo na katika baa ya Kijiji cha Kiethiopia jijini Kampala Uganda.Mashambulizi hayo yalitokea wakati ambao wapenzi wa kandanda walikuwa wakitazama mpambano wa fainali kati ya Uhispania na Uholanzi uliofanyika nchini Afrika Kusini.