· Aprili, 2012

Habari kuhusu Uganda kutoka Aprili, 2012

Uganda: Ndiyo Tunampinga Kony!

  30 Aprili 2012

Kampeni kwenye mitandao ya kijamii inayokusudia kuongeza uungwaji mkono wa harakati za kumkamata kiongozi wa waasi wa ki-Ganda na mhalifu anayetafutwa kwa udi na uvumba Joseph Kony imechukua sura nyingine.