Habari kuhusu Uganda
Yaliyojiri Wiki Hii Global Voices: Yeyote ni Kipaumbele?
Wiki hii tunakupeleka hadi China, Mexico, Jamaica, Macedonia na Uganda, ambapo tunaongea na Prudence Nyamishana ambaye anatusimulia ni kwa nini Raia wa Uganda hawakufurahishwa na vipaumbele vya serikali yao.
Mchora Katuni Snoggie Achambua Siasa za Uganda kwa Kutumia Ucheshi
Snoogies, mchora katuni wa Uganda, anatumia sanaa na vichekesho kuchambua masuala ya siasa za nchi hiyo
‘Uganda ni Chungu Kinachotokota': Kukamatwa, Udanganyifu na Kufungwa kwa Mitandao ya Kijamii Vyatawala Uchaguzi
"Winning an election through hook and crook while clobbering your fellow countrymen should never be a proud moment!"
Nguvu ya Mitandao ya Kijamii Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Uganda, 2016
"Uhuru wa kujieleza unaambatana na wajibu wake. Kuna wakati upotoshaji hutokea wakati wa kutoa taarifa na kwenye kuchangia maoni kupitia mitandao ya kijamii."
Waganda Wamchimba Rais Wao Museveni Kwa Picha za Miaka 30 Iliyopita!
Wakati Rais Museveni anatafuta kuchaguliwa tena kuwa rais kwa awamu ya sita, wa-Ganda wanakumbushana walikokuwa miaka hiyo -- na kutokurishwa na siasa za nchi hiyo.
Je, Waganda Wameridhika na Utendaji wa Serikali Yao Kama Matokeo ya Utafiti Yanavyoonesha?
"Historia inatuambia kwamba watu HAWAKUI ili kuupenda na kuuenzi udikteta bali kinyume chake."
Mpigania Amani wa Uganda awa Miongoni mwa Watakaoshindania Tuzo ya Amani ya Nobeli
This is Uganda (ThisIs256) ni jukwaa la waandishi waliobobea kutoka Uganda walio na utayari wa kuandika habari makini za kuihusu nchi yao, wakilenga kutokomeza uanahabari uchwara, njaa, Ebola, ukabila, pamoja na mambo mengine. Wanachojaribu kukifanya ni kuanzisha aina ya utafiti kuihusu Uganda ambao ni halisi, makini, wa kweli na usio...
Jiandae kwa Mkutano wa MozFest Afrika Mashariki 2015
MozFestEA ni tukio litakalofanyika kuanzia Julai 17 – 19, 2015 kwenye Chuo Kikuu cha Victoria, Kampala, Uganda likiwa na maudhui makuu, “Kutafuta Majibu ya Changamoto za Afrika, kwa pamoja mtandaoni”: MozFest Afrika Mashariki ni tukio la kila mwaka linalowaleta pamoja wataalam wa elmu, wabunifu, wasomi na mafundi wa Afrika Mashariki...
Asasi ya Kiraia Inayofuatilia Bunge Yawaunganisha Wabunge Wanawake na Wananchi wa Uganda
Asasi ya Kiraia ya Parliament Watch Uganda iliandaa mjadala wa kujadiliana na wabunge wanawake kwenye mtandao wa Twita kuhusu mada 'Kuwafanya Wanawake Wathaminiwe Kwenye Shughuli za Kibunge'.
Baada ya Miaka 29 Madarakani, Rais wa Uganda Museveni Hana Mpango wa Kung'atuka
"Kwa hiyo ni rasmi. Hakuna demokrasia nchini Uganda. Museveni na Jeshi lake ndio kila kitu."