Habari kuhusu Teknolojia
Taarifa Zaonesha Jinsi Wanasiasa wa Ghana Wanavyotumia Mitandao ya Kijamii Kuelekea Kwenye Uchaguzi
The second edition of the Governance Social Media Index assesses and ranks the presence of political parties, political party leaders and key election management bodies in Ghana on social media.
Serikali ya Ethiopia Yazima Intaneti ya Simu za Mkononi na Mitandao ya Kijamii
Wale wanaoufuatilia mwenendo wa mambo wanahofia kuwa hatua hii inaweza kuwa dalili ya mwanzo wa hatari kwa maandamano hayo yaliyoendelea kwa miezi 12.
Nchini Tanzania, Kusema Msimamo Wako wa Kisiasa Mitandaoni Inazidi Kuwa Hatari
Tangu Rais John Magufuli ashinde uchaguzi wa Rais mwezi Oktoba 2015, watu 14 wameshakamatwa na kupandishwa kizimbani kwa kutumia mitandao ya kijamii kumtukana Rais
Serikali ya Bangladesh Yazima Mitandao ya Intaneti na Kufungia Tovuti 35
“Kama sehemu ya zoezi linaloendelea, mitandao yote ya intaneti itazuiliwa kwa muda wakati wowote na eneo lolote la nchi.”
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Siasa za Pokémon Go
Kwenye kipindi cha wiki hii, tunakupeleka Iran, Japan, China, Mexico na Timor-Leste.
Hiyo Ndiyo Sababu ya Google Kubadili Majina ya Baadhi ya Miji ya Crimea—na Sasa Inarudisha Majina ya Awali
Kama vile ni miujiza, Google ilibadili ghafla baadhi ya majina ya miji kwenye pwani ya Crimea —kwa kutumia huduma yake ya Ramani za Google
‘HiviSasa’, Mradi wa Uandishi wa Kiraia Nchini Kenya kwa Ajili ya Tovuti za Simu
"Inapatikana kirahisi, inavutia watu wa makundi tofauti, ina uwazi na kumwezesha mwananchi na serikali ujumla. Wananchi wenye taarifa sahihi hufanya maamuzi bora na sahihi kwa ajili ya maisha yao na kwa serikali yao."
Mwanaume wa Tanzania Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Mitatu Jela kwa “Kumtukana” Rais kwenye Mtandao wa Facebook
Hukumu hii inakuja baada ya Sheria ya Makosa ya Jinai ya Tanzania kupitishwa mwaka 2015, ambayo wakosoaji wengi wanasema inawapa polisi mamlaka makubwa bila udhibiti wowote
Mtazamo wa Tamasha la Kwanza la WanaBlogu na Vilogu wa Barani Afrika Lililofanyika Huko Dakar, Senegal
Kwa siku mbili, wanablogu na wanavilogu maarufu barani Afrika, wakiambatana na wadau kadhaa wa teknolojia barani Afrika walikuwa na majadiliano ya namna ya kuboresha kazi zao
‘Biko Zulu’, ‘Wananiita Daktari’ na ‘Hadithi za Mama’ Miongoni mwa Washindi wa Tuzo za Blogu Kenya
Washindi wa Tuzo za Blogu Kenya 2016 walitangazwa katika dhifa maalum iliyofanyika mnamo Mei 14 jijini Nairobi, Kenya.