Habari kuhusu Teknolojia
‘Bustani’ Shirikishi Inayotumia Matangazo ya Radio Kukuwezesha Kuzuru Ulimwengu
Tangu mwishoni mwa 2016, Radio jumuishi iitwayo 'Bustani' imewawezesha watumiaji kutembelea dunia yote kupitia matangazo ya radio.
Kipi Kinajiri Maekelawi? Simulizi ya Ukatili wa Kituo cha Kushikilia Watuhumiwa cha Ethiopia Kinachotarajiwa Kufungwa
"Imefahamika kwamba hofu ya wafungwa nchini Ethiopia, kitu ambacho kilishakaribia kufutika kwenye kumbukumbu za watu, kumbe ni nkumbukumbu iliyokaribu kabisa"
Mamlaka za Uturuki Zawatia Kizuizini Wapigania Haki za Binadamu Maarufu Wakiwa Kwenye Warsha ya Uwezeshaji
"Watu [hawa] waliojitolea maisha yao kwa ajili ya kupigania haki za binadamu. Siku yaja watakaposimama kidete kutetea haki za wake wanaohusika kuwakamata."
Jukwaa Hili Limewasaidia Maelfu ya Wahamiaji Kukutana Tena na Familia Zao Nyumbani
Duniani kote, takribani watu miliaoni 65 ambao, kwa sababu moja au nyingine, wamelazimishwa kuyakimbia makazi yao. Jukwaa hili linalenga kukutanisha familia zilizovunjika.
Wataalam wa Teknolojia Nchini India Wanapambana Kubaini Ujumbe Bandia Unaoenezwa WhatsApp na Facebook
Watumiaji wengi wa mtandao hawafahamu bado namna ya kutofautisha vyanzo halisi vya ujumbe wanaoupokea na vyanzo bandia au hatarishi
Hali ya Uchafuzi wa Mazingira Kathmandu Imefanya Miungu Kuvikwa Barakoa
Kiwango cha Uchafuzi jijini Kathmandu kimezidi kiwango cha chini kinachokubaliwa huku wakazi wa jiji hili wakikabiliana na hali kwa kujizuia kwa mabarakoa, kama ilivyo kwa sanamu za watu maarufu zilizomo jiji humo.
Miradi Ifuatayo Inalenga Kuifanya Simu yako Ikusemeshe kwa Kiswahili
Kiswahili ni lugha ya pili kuzungumzwa zaidi barani Afrika. Hata hivyo, mfumo wa utambuzi wa sauti bado haupatikani katika lugha hiyo, na kuwanyima watumiaji wengi taarifa wanazozihitaji.
Unaweza kupendekeza Washindani wa Tuzo za Blogu Kenya 2017
Tuzo za Blogu Kenya sasa zinapokea mapendekezo kwa ajili ya shindano la mwaka huu. Mapendekezo yanakaribishwa mpaka Machi 10. Wanablogu na mashabiki wanaweza kutuma mapendelezo yao kwa makundi mbalimbali ya ushindani.
Serikali ya Kenya Yadaiwa Kuwalipa Watumiaji Maarufu wa Mtandao ya Kijamii Kutangaza Habari za “MadaktariWalafi”
Kadri madai ya kuingiliwa kwa mitandao ya kijamii yakiongezeka, viongozi saba wa Chama cha Madaktari nchini Kenya wamehukumiwa kifungo kwa kushindwa kuzima mgomo huo unaoendelea.
China Kufungia Kutolewa kwa Huduma ya Mitandao Binafsi ya Intaneti
Serikali ya China imefungia baadhi ya huduma za VPN China tangu 2015, lakini sera mpya inafanya kutumia VPN na huduma za intaneti zisizosajiliwa kuwa kosa