Habari kuhusu Maandamano kutoka Agosti, 2017
Mchora Vibonzo vya Kisiasa Nchini Malaysia Zunar Aishitaki Polisi Kwa Kumkamata Kinyume cha Sheria na Kushikilia Vitabu

"You can ban my books, you can ban my cartoons, but you cannot ban my mind. I will keep drawing until the last drop of my ink."
Mwandishi wa Habari wa Thailand na Wakosoaji Dhidi ya Serikali ya Kijeshi Wakabiliwa na Makosa ya Uchochezi Kupitia Facebook

"Nitaendelea kuikosoa serikali batili ya kijeshi hadi watakaponinyang'anya simu janja yangu."