· Septemba, 2013

Habari kuhusu Maandamano kutoka Septemba, 2013

South Korea: Ahadi ya Rais ya Ustawi Iliyoshindwa Yakosolewa

  30 Septemba 2013

Rais Park yuko kwenye wakati mgumu kwa r  ahadi yake aliyoitoa wakati wa kampeni kuwa angepandisha ruzuku ya pensheni gharama za mafunzo. Wakosoaji wanasema kampeni yake iliahidi kinyume na sera yake kama mgombea mhafidhina, ilimsaidia kuzoa kura katika uchaguzi uliopita. Akaunti ya mtandao wa twita wa @metempirics ilikusanya viunganishi vinavyohusika na...

Peru: Wafanyabiashara Wachoma Nguo Kupinga Bidhaa za Kichina

  2 Septemba 2013

Wafanyabiashara kutoka eneo la Gamarra [es], kituo maarufu cha viwanda vya nguo na ambako ndiko lilipo eneo la kibiashara jijini Lima, walichoma nguo zilizoingizwa kutoka China [es] katika mitaa kupinga biashara hiyo ya nguo zinazouzwa bei ndogo ambazo, kwa mujibu wao, hufanya biashara zao kufilisika. Kwenye mtandao wa Twita, Alfredo “Alial” (@ Alfredo_jch) [es] alipendekeza...