· Agosti, 2012

Habari kuhusu Maandamano kutoka Agosti, 2012

Sudani: Mwanaharakati Mtumia Twita Aachiwa Huru

'Nilitishiwa kufanyiwa vitendo vya ngono na kutendewa vibaya mara kadhaa katika siku ile. Wakati mmoja hata na ofisa wa ngazi za juu wa #NISS.' Mwezi Juni, Shirika la Ujasusi na Usalama wa Taifa la Sudani liliwakamata maelfu ikiwa ni pamoja na mwanaharakati anayetumia Twita Usamah Mohamed Ali.

28 Agosti 2012