Habari kuhusu Maandamano kutoka Februari, 2010
Nijeria: Baada ya miezi miwili bila uongozi, kaimu Rais mpya
Baada ya wiki za mivutano ya kisiasa, Baraza la Seneti lilimthibitisha Goodluck Jonathan kama kaimu Rais. Wengi kwenye ulimwengu wa blogu waliliona tukio hilo kama...
Misri: Mwanablogu apoteza kazi kwa kufichua ukweli kuhusu habari ya bikra za bandia
Mwanablogu ambaye pia ni mwanahabari wa Kimisri Amira Al Tahawi amefukuzwa kazi kwa kufichua ukweli kuhusu habari ya uongo juu ya bikra za bandia zinazotengenezwa...
Urusi: Maandamano ya Kupinga Serikali Yaripotiwa na Wanablogu, Yasusiwa na Vyombo Vikuu vya Habari
Wakati maandamano makubwa zaidi dhidi ya serikali nchini Urusi katika muongo uliopita yanazidi kudharauliwa na vyombo vikuu vya habari nchini humo, ulimwengu wa blogu unachemka...