Habari kuhusu Maandamano kutoka Mei, 2019
Mwaka Mmoja Baada ya Maandamano wa-Nicaragua Hawaishii Kutaka Ortega Aondoke -Wanataka Mwanzo Mpya
"[Tunahutaji] kuung'oa udikteta, vitendo vya ngono, na tabia nyingine za hovyo zilizopenya kwenye utamaduni wa siasa za nchi hii."
Kwa nini Wakolombia Wazawa Wanaandamana Dhidi ya Rais Ivan Duque?
Wazawa Kolombia wameratibu maandamano ya kitaifa kupinga mpango mpya wa maendeleo wa Rais Duque wakiunganisha nguvu na Wakolombia weusi, wakulima, wafanyakazi na wanafunzi .
Benin Yashuhudia Kuzimwa kwa Mtandao Siku ya Uchaguzi
Mtandao kufungwa ambapo ulifunguliwa usiku, ukiwaacha wapiga kura gizani siku ya uchaguzi.