· Novemba, 2013

Habari kuhusu Maandamano kutoka Novemba, 2013

“Maendeleo kwa Akina Nani?” Wa-Guatemala Wapinga Mradi wa umeme wa Maji

  11 Novemba 2013

“Maendeleo kwa ajili ya nani? Je, fedha zitabaki katika jamii? Hapana, inaendelea kujaza mifuko ya wengine, na tutaendelea kuishi katika umaskini. Sisi ni tunacho uliza sasa ni kwa serikali kufuta leseni zote za [madini na umeme wa maji] ambazo zimetolewa.” Katika Upside Down World, Kelsey Alford-Jones, Mkurugenzi Mtendaji wa Tume...