Habari kuhusu Siasa kutoka Machi, 2014
Je, Mwigizaji Maarufu Urusi Amempinga Vladimir Putin?
Nchini Urusi, ni nadra sana kwa yeyote anayeonekana mara kwa mara kwenye televisheni kumkosoa , achilia mbali kumpinga Vladimir Putin. Lakini je, Khabensky alithubutu?
Maandishi ya Facebook Kukosoa Kuivamia Crimea Yamgharimu Mwandishi Ajira
Warusi wanauliza ikiwa Putin anaweza kwenda "kuwavamia" na wao, kama hiyo inamaanisha kuongeza mafungu ya fedha kwa ajili ya majimbo yaliyosahaliwa
Je, Afrika Kusini ni ‘Nchi Iliyokwama'? Ndivyo Alan Dershorwitz Anavyofikiri
Mwanasheria wa Kimarekani na mchambuzi wa mambo ya kisiasa Alan Dershorwitz amewatia hasira Waafrika Kusini kwa kuielezea nchi yao kuwa ni 'nchi iliyokwama' katika mahojiano alyoyafanya na Piers Morgan.
Machafuko Nchini Burundi kabla ya Uchaguzi wa Rais
Angalau kumekuwa na makala 19 ya matukio ya vurugu tangu mwanzo wa 2014 nchini Burundi kabla ya uchaguzi wa rais vituo vya machafuko juu ya marekebisho ya katiba iliyopendekezwa na rais Nkurunziza ambayo inaweza kumruhusu kugombea kwa awamu ya tatu. CNDD-FDD chama tawala na tawi lake la vijana ni watuhumiwa...
Maadhimisho ya Miaka Miwili ya Kampeni ya Kony 2012
Machi 5, 2014 ni siku ambayo maandimisho ya miaka miwili ya kampeni ya KONY 2012 yalifanyika: Miaka miwili iliyopita tulianzisha kampeni inayoitwa KONY 2012. Ilikuwa ni jaribio la kuona kama dunia ilikuwa tayari kuungana na kuongea dhidi ya uhalifu wa kutishia usio onekana wa Joseph Kony na LRA. Ulimwengu ulikuwa...
Umoja wa Ulaya Wachapisha Utafiti wa Kina Kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake
Nchi za Ulaya Kaskazini ni miongoni mwa zile zenye kiwango cha juu kabisa cha udhalilishaji wa wanawawake: Denmark (52%), Finland (47%) na Sweden (46%).
Mazungumzo ya GV: Kipi Kinafuata Nchini Ukraine?
Kipi kinafuata kwenye vuguvugu la maaandamano ya Ukraine? Maandamano na umwagaji damu ulisababisha kung'oka kwa rais anayetuhumiwa kuwa fisadi. Lakini sasa, wakati Urusi ikijiandaa kijeshi na Crimea ikifikiria kujitenga, yapo maswali mengi yasiyoisha kuhusu mustakabali wa kisiasa nchini Ukraine pamoja na uhusiano wake na Umoja wa Ulaya.
Uwakilishi wa Kisiasa: Mapambano ya Raia wenye Asili ya Afrika Waishio Colombia
Ikiwa na idadi ya watu milioni 5, au asilimia 10.6 ya idadi ya watu wote wa nchi hiyo, Colombia ina idadi kubwa zaidi ya watu wenye asili ya Afrika katika bara la Amerika Kusini, nyuma tu ya Brazili kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2005. Hata hivyo, kuna changamoto kubwa...
Kuchanwa kwa Korani Kwaleta Tafrani Nchini Mauritania
The Mauritanian capital Nouakchott witnessed violent clashes between security forces and an angry crowd after people tore up a copy of the Quran. One person was killed in the clashes.
Kwa nini Maandamano Hayatasababisha ‘Mapinduzi ya Cambodia’
Faine Greenwood anaandika kuhusu mhadhara wa Stanford uliotolewa na mwanaharakati wa haki za binadamu wa Cambodia Ou Virak. Aliuliza kuhusu maandamano ya kupinga serikali yanayoendelea nchini Cambodia, Ou Virak alieleza kwa nini hayatasababisha ‘mapinduzi ya kisiasa': Sidhani kuwa mapinduzi ya Cambondia yatatokea, na wala sidhani yanahitajika…Hatuna hata neno muafaka kwa...