makala mpya zaidi zilizoandikwa na Albert Kissima kutoka Septemba, 2015
Kilichotokea Mbwa ‘Mjamzito’ Alipozikwa Hai huko Voronezh

Serikali ya mtaa iliposhindwa kujibu ombi la msaada, watu kadhaa waliamua kujichukulia hatua, kuondoa matofali na kuchimba kumwokoa mbwa huyo aliyekuwa amebanwa.
Hivi Ndivyo Chechen Inavyokabiliana na Kundi la ISIS

Video ya Kadyrov ikiwaonesha wanaume wa Chechen waliokamatwa kwa kushawishi watu kupitia mitandao ya kijamii ili wajiunge na kundi la ISIS, na wazee wanaoonekana wakiwakaripia ni ndugu zao pamoja na viongozi wa eneo wanaloishi wanaume hao
Fuatilia Uchanguzi wa Kihistoria Kuwahi Kutokea Nchini Tanzania
"Lowassa ni Robin Hood wa Kimasai. Au El Chapo wa Kitanzania. Itazame mikono aishikayo na siyo vidole avikanyagavyo."