makala mpya zaidi zilizoandikwa na Albert Kissima kutoka Juni, 2015
Abel Wabela: “Kupambana na Hali ya Kutokuchukua Hatua na Kutojali…Hii Ndio Nia Yangu Kama Mwanadamu”

"Maangalizo, vitisho, kukamatwa na mateso hakujanifanya kuacha kutumia haki zangu za msingi za kujieleza," anasema Abel Wabela, mmoja wa wanablogu wa Zone9 wa nchini Ethiopia ambao walifungwa gerezani tangu Aprili 2014.
“Hatuwezi Kukandamiza Utu wa Wengine bila Kuukana utu Wetu Kwanza

Kosa la wanablogu wa Zone9' ati lilikuwa ni kuthubutu kuonesha dhamira yao ya kuupigania "Ubuntu". Waliihamasisha jamii yao kuachana na dhana ya ubinafsi
Mradi wa Picha Waelezea Maisha Nchini Nepali Baada ya Kutokea kwa Tetemeko la Ardhi
Mradi wa pamoja wa Picha unaoendeshwa kuptia Instagram na Facebook unakusanya maisha mbalimbali ya kila siku Nchini nepali kufuatia matetemeko mabaya ya ardhi ya hivi karibuni.
Msemo Wa Blogu ya Zelalem Kiberet: ‘Uache Uhuru Uvume’

Kutokana na upeo wake mkubwa, uandishhi wake wa busara na uchambuzi usiotetereka wa masuala ya dini, marafiki zake walimpatia Zelalem jina la utani la Zola lililotokana na mwandishi maarufu wa Kifaransa, Zola.
Ramani Hizi Zaonesha Mahali Walipotesewa na Kuuawa Wanahabari wa Kambodia
Kituo cha Haki za Binadamu cha kambodia kimezindua jarida linaloelezea ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa kwa waandishi wa habari nchini Kambodia. Katiba ya nchini Kambodia inatoa uhuru wa kupashana...