makala mpya zaidi zilizoandikwa na Albert Kissima kutoka Aprili, 2014
Kikundi cha Boko Haram Chaendeleza Vitendo Vya Kigaidi Nchini Nigeria
Wiki za hivi karibuni, wanajihadi wa kundi la kigaidi la kiislam liliwachinja raia wa Nigeria wasio na hatia.
Chanzo cha Maji nchini China Chawekwa Kemikali Inayosababisha Kansa
Benzene, kemikali inayosababisha kansa kwa haraka kabisa, imegundulika kuwepo kwenye chanzo cha maji cha Jiji la Lanzhou , wakati fulani ilipimwa na kukutwa kwa kiwango cha mara 20 zaidi ya kile kinachofahamika kuwa ni salama kwa matumizi.