makala mpya zaidi zilizoandikwa na Albert Kissima kutoka Mei, 2018
Wanaharakati wa Mazingira wa Bulgaria Wapata Ushindi Muhimu wa Mahakama Kufuatia Kampeni yao ya #SaidiaHifadhiyataifayaPirin
"Habari njema kwa @zazemiata + maelfu ya watu wanaandamana dhidi ya mpango wa uharibifu wa #Hifadhi ya Taifa ya Pirin nchini Bulgaria! #SaidiaPirin"
“Nilitamani Wajukuu wangu Wakulie kwenye Nyumba Ile”:Ushuhuda wa Mwanamke wa Syria mwenye Miaka 61 kutoka Zamalka

Nilitamani wajukuu wangu wakulie kwenye nyumba ile, na hivyo kuweza kuongozea uhai mpya nyumbani pale, kama walivyofanya mabubu zetu wa kila kizazi kilichopita.
Maandamano ya Nicaragua Yachochea Kufungwa kwa Vyombo vya Habari, Shambulizi la DDos na Mauaji ya Mwandishi wa Habari Angel Gahona

Ripoti ya Utetezi wa Raia wa mtandaoni inakuletea mkusanyiko wa changamoto, mafanikio na mwenendo wa matukio yanayojitokeza kuhusiana na haki za matumizi ya mtandao wa intaneti ulimwenguni kote.