Habari kuhusu Asia Mashariki kutoka Mei, 2014
Hong Kong: Mfanyakazi wa Ndani Apigwa Makofi, Mateke na Kulazimishwa Kufanya Kazi Masaa 21 kwa Siku
Kesi nyingine ya unyanyasaji wa mtumishi wa ndani wa kigeni imefichuliwa. Mhanga huyo Rowena Uychiat inadaiwa alilazimishwa kufanya kazi masaa 21 kwa siku (6:00 mpaka 03:00) bila kupewa siku ya mapumziko. Alidai kupigwa makofi, mateke, kutukanwa kwa maneno vibaya na nywele zake kuvutwa. Tom Grundy aliripoti tukio hilo kwa undani.
Mazungumzo ya GV: Maandamano ya ‘Alizeti’ Taiwan
Je, harakati za kupigania demokrasia nchini Taiwani zina demokrasia ndani yake? Tunazungumza na waandishi wetu wa Taiwani kuhusu maandamano hayo pamoja na uwezekano wa mamlaka kamili ya nchi hiyo kutoka China.
Mazungumzo ya GV: Je, Utamaduni Ulisababisha Washindwe Kuokolewa Kwenye Ajali ya Kivuko?
Mitazamo potofu kuhusu Wakorea Kusini inaendelea kusambaa kwenye habari zinazotangazwa kuhusu kivuko kilichozama. Je, wahanga hao walikuwa na utii uliopindukia kiasi cha kushindwa kuokolewa?