Hong Kong: Mfanyakazi wa Ndani Apigwa Makofi, Mateke na Kulazimishwa Kufanya Kazi Masaa 21 kwa Siku

Photo taken from the press conference by Tom Grundy.

Picha iliyopigwa katika mkutano wa waandishi wa habari na Tom Grundy..


Kesi nyingine ya unyanyasaji wa mtumishi wa ndani wa kigeni imefichuliwa. Mhanga huyo Rowena Uychiat inadaiwa alilazimishwa kufanya kazi masaa 21 kwa siku (6:00 mpaka 03:00) bila kupewa siku ya mapumziko. Alidai kupigwa makofi, mateke, kutukanwa kwa maneno vibaya na nywele zake kuvutwa. Tom Grundy aliripoti tukio hilo kwa undani.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.