Habari kuhusu Afrika Kusini

Highway Africa 2014 Yasogeza Mbele Tarehe ya Mwisho ya Kujiandikisha

  29 Julai 2014

Tarehe ya mwisho ya kujiandikisha kwa ajili ya Mkutano wa 18 wa mwaka wa Highway Africaimesogezwa mbele mpaka Ijumaa, Agosti 08 2014: Kutokana na kuongezeka kwa shauku ya watu kuhudhuria mkutano wa mwaka wa 18 wa Highway Africa, tarehe ya mwisho ya kujiandikisha imesogezwa mbele mpaka Ijumaa, 08 Agosti 2014....

Kuhusu Kuwa Kijana, Mweusi na Mgeni nchini Afrika Kusini

  13 Julai 2014

Leila Dee Dougan anaweka video ya muziki inayotoka kwenye toleo la hivi karibuni la msanii wa Afrika Kusini Umlilo: Umlilo (ambaye hapo awali aliandikwa kwenye tovuti ya Africa is a Country) anaendelea kupunguza mipaka ya kijamii, akivunja vunja mila zinazohusu masuala ya jinsia na mapenzi kwa kutumia albamu yake ya...

Rwanda: Mema, Mabaya na Matumaini

  30 Mei 2014

Ingawa Rwanda imepiga hatua kubwa katika kuponya majeraha ya mauaji ya kimbari ya 1994, makundi ya utetezi yanaripoti vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu.

Mradi Wa Kutumia Simu za Mkononi Kuhamasisha Usomaji

  10 Aprili 2014

Lauri anaandika kuhusu mradi uliopo Afrika Kusini, Mfuko wa Usomaji wa FunDza, unaotumia teknolojia ya simu za mkononi kuhamasisha tabia ya kusoma kwa watoto: Kinachofurahisha, hata hivyo, ni pale Waafrika wanapopata majibu ya kiubinifu kwa matatizo yao. Mradi wa FunDza ni mfano moja wapo. Simu za mkononi zimeenea sana nchini...

Mandela na Mao, Hawakushabihiana sana.

  19 Disemba 2013

Jeremiah kutoka katika studio ya Granite atoa maoni yake kwenye Televisheni ya Taifa ya China, CCTV akitaka kuonesha uhusiano uliokuwepo kati ya Mandela na Mao Zedong: Mandela hakushabihiana sana na Mao. Mao alikuwa muumini wa udhanifu kama tafsiri ya neno linavyotanabaisha, mtu aliyeamini kuwa, mchakato wa utendaji wa jambo ndilo...

Wanaijeria Wamkumbuka Nelson Mandela

  9 Disemba 2013

Nelson Mandela, mzalendo mpendwa na mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel, amefariki Desemba 5, 2013. Wanaijeria wanakumbuka kumbumbuku iliyoachwa nyuma na Rais huyo wa kwanza wa Afrika Kusini

Je, Ziara ya Obama Barani Afrika ni Neema au Hasara?

  5 Julai 2013

Rais wa Marekani Barack Obama amemaliza ziara yake ya siku sita katika nchi tatu za Kiafrika, Senegali, Afrika Kusini na Tanzania, mnamo Julai 2, 2013. Obama alitangaza mradi mpya, "Umeme Afrika", kukuza matumizi ya umeme mara dufu katika nchi zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara. Maoni ya watu duniani kote juu ya umuhimu na matokeo ya ziara hiyo yamegawanyika mno.