Habari kuhusu Vita na Migogoro
Vito na Sarafu za Kale za Syria Zapigwa Mnada Kwenye Mtandao wa Facebook
Sarafu za kale zilizoibwa na ISIS kutoka kwenye maeneo yanayodhibitiwa na ISIS, sasa yanapigwa mnada kwenye mtandao na Facebook kwa mamilioni.
Je, Saudi Arabia Imelishambulia Bwawa la Kale la Marib Nchini Yemen?
Kuna taarifa zisizodhibitishwa zinazosema kwamba vikosi vya pamoja vya Kisaudi, ambavyo vimekuwa vikiishambulia Yemen kwa mabomu kwa zaidi ya miezi miwili sasa vimelilenga Bwawa la Marib, moja wapo ya maajabu makuu ya katika ulimwengu wa ubunifu wa kale wa kiufundi. Kwenye mtandao wa Twita, Hussain Albukhaiti anadai: Unconfirmed reports: #Saudi...
Tunayoyajua na Tusiyoyajua Baada ya Jaribio la Mapinduzi Nchini Burundi
Celebration and jubilation near Presidential offices in Bujumbura after the overthrow of Nkurunziza. #BurundiCoup pic.twitter.com/WhJzXKfS69 — Robert ALAI (@RobertAlai) May 13, 2015 Shangwe na vifijo karibu na ikulu ya Rais nchini Bujumbura baada ya kupinduliwa kwa Nkurunzisa. Kufuatia nia ya kugombea urais kwa kipindi cha tatu ya Rais wa Burundi...
Swali: Wapiganaji Wangapi wa Jihadi Wana Historia ya Jeshi?
Kwa kutumia dondoo kutoka kwenye ripoti ya Der Spiegel kuhusu watu walionyuma ya muundo wa ISIS, mwanablogu wa Palestina Iyad El-Baghdadi anatwiti: After that Spiegel story about the "mastermind" behind ISIS's takeover of Syria – noticed just how many Jihadists have military backgrounds? — Iyad El-Baghdadi (@iyad_elbaghdadi) April 21, 2015...
Maisha ya Wakenya Yana Thamani, Wanafunzi wa Kiafrika Wasema Kwenye Ibada ya Kuwaombea Wahanga wa Garissa Jijini Beijing
Kikundi cha wanafunzi wa Kiafrika jijini Beijing waliandaa ibada ya kuwakumbuka wahanga 147 wa shambulio la Garissa pamoja na china kutokuwa na uvumilivu kwa watu wanaoomboleza hadharani
Mpigania Amani wa Uganda awa Miongoni mwa Watakaoshindania Tuzo ya Amani ya Nobeli
This is Uganda (ThisIs256) ni jukwaa la waandishi waliobobea kutoka Uganda walio na utayari wa kuandika habari makini za kuihusu nchi yao, wakilenga kutokomeza uanahabari uchwara, njaa, Ebola, ukabila, pamoja na mambo mengine. Wanachojaribu kukifanya ni kuanzisha aina ya utafiti kuihusu Uganda ambao ni halisi, makini, wa kweli na usio...
Mbali na Kusikia Habari za Boko Haram Nchini Niger, Fahamu Jangwa la Ténéré
Niger ipo katika vita na Boko Haram. Tusilisahau hili, hata hivyo, Niger ni mahali palipo na miradi mingi na pia ni eneo lililosheheni utajiri mwingi wa asili pamoja na ushairi.
Kufuatia Shambulizi la Garissa, Jamii ya Wazungumzaji wa Kifaransa Waungana na Wakenya
147 people were killed by gunmen on the campus of Garissa University in Kenya. The world and specifically the french speaking world after Charlie Hebdo, shows support to the victims
Baada ya Magaidi Kuua Watu Wasiopungua 147, Kulikoni Dunia Haiungani na Kenya?
Shambulio la Charlie Hebdo liliibua simanzi na mshikamano duniani kote, lakini shambulio la kigaidi nchini Kenya halijapewa uzito unaostahili.
Watu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya Takwimu
Watumiaji wa mtandao wa Twita wameanza kutumia alama habari #147notjustanumber kuadhimisha maisha ya wahanga wa shambulio la kigaidi lililotokea kwenye Chuo Kikuu cha Garissa.