Habari kuhusu Vita na Migogoro kutoka Septemba, 2016
Mwandishi wa Habari Jean Bigirimana Bado Hajapatikana katikati ya Mgogoro wa Kisiasa Unaoendelea Nchini Burundi

Serikali kukanusha kushikiliwa kwa Jean kumewaweka marafiki na wafanyakazi wenzake na Jean katika hali hofu kuwa serikali inaweza kuwa inaficha taarifa za alipo au kuhusu kifo chake
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Kuchezea Amani
Wiki hii, tunakupeleka Ukraine, Russia, Singapore, India na Brazil.
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Hatutaki Mazoea
Wiki tunakusimulia visa vya maandamano, majanga na ubaguzi vinavyofanyika Ethiopia, Egypt, Pakistan, Trinidad na Australia.