Habari kuhusu Vita na Migogoro
Yafanyike Mashambulizi Mangapi Dhidi ya Watalii Ili Afrika Magharibi Iandae Mkakati wa Pamoja wa Kikanda?
"Hatari haipo mbali kama tunavyoweza kufikiri. . . . Na pia, mashambulizi yana nafasi ndogo sana kuhusu amani ya ndani au uhusiano kati ya makundi ya kidini."
Mitaa ya Paris Inavyonikumbusha Mitaa ya Beirut
"Hatujapata kitufe cha 'salama' kwenye mtandao wa Facebook. Hatujapata salamu za pole usiku wa manane kutoka kwa watu maarufu zaidi duniani pamoja na mamilioni ya watumiaji wa mtandao..."
Jamii ya Lumad Nchini Ufilipino Yasimama Kidete dhidi ya Uonevu
“Jeshi la Ufilipino liliharibu shule yetu. Pia, lilichoma majengo ya ushirika wetu wa kilimo. Nilijikuta nimefungwa gerezani na sasa nimeshitakiwa kwa kusingiziwa kosa la utekaji. Tuna hamu ya kuipata tena ardhi yetu tuliyoirithi kutoka kwa mababu zetu."
Michoro Yaonesha Harakati za Raia wa Ufilipino Wakipambana na Ukandamizaji
Nchi ya Ufilipino ina idadi ya raia wazawa wanaokadiriwa kufikia milioni 14. Wengi wa raia hawa wanaoishi maeneo ya vijijini wapo katika hatari kubwa ya kuathiriwa na uharibifu unaotokana na shughuli za uchimbaji madini, harakati za utafutaji maendeleo pamoja na matumizi ya nguvu za kijeshi.
‘Simulizi ya Kimapenzi ya Syria’ yafuatilia Safari ya Familia Ikiwa Vitani na Uhamishoni
“Nafikiri ujumbe wa matumaini upo kwenye ujasiri usio na kificho— ujasiri ulio dhahiri wa familia moja, ambao kila mwanafamilia ameupitia.”
Hivi Ndivyo Chechen Inavyokabiliana na Kundi la ISIS
Video ya Kadyrov ikiwaonesha wanaume wa Chechen waliokamatwa kwa kushawishi watu kupitia mitandao ya kijamii ili wajiunge na kundi la ISIS, na wazee wanaoonekana wakiwakaripia ni ndugu zao pamoja na viongozi wa eneo wanaloishi wanaume hao
Mlipuko na Milio ya Risasi Katika Kasri la Dolmabahçe huko Instanbul
Mnamo Agosti 19, jiji la Istanbul lilijikuta katika hali ya taharuki kufuatia kuendelea kushamiri kwa hali tete ya kisiasa nchini Uturuki
‘Escopetarra': Chombo cha Kipekee
Kama unaamini kuwa hakuna jambo zuri linaloweza kutokana na bunduki aina ya gobore, basi unapaswa kukifahamu kifaa kiitwacho “escopetarra”— mchanganyiko uliotokana na kubadilisha silaha mbili “hatari” (an AK-47 na gitaa) na kuwa kifaaa cha amani. “Escopetarra” ni neno lililotokana na muunganiko wa maneno ya Kispaniola, “escopeta” (bunduki) na “guitarra” (gitaa). Kwenye...
Alama ya #AchaHofu Yatumika Kufuatilia Uchaguzi wa Mexico
Wakati wa uchaguzi wa Jumapili iliyopita nchini Mexico, taasisi ya kulinda uhuru wa kujieleza, ARTICLE 19 iliendesha kampeni ya #RompeElMiedo (#AchaHofu) kwa lengo la kufuatilia usalama wa waandishi wa habari
ISIS Yashambulikia Kwa Mara Nyingine Msikiti wa Shia Nchini Saudi Arabia
kwenye dawati lakuthibitisha habari la Global Voices, mradi unaoendeshwa kwa ushirikiano kati ya Meedan Checkdesk, zana ya mtandaoni ya kufuatilia habari, na Global Voices Online, Joey Ayoub anaonesha miitikio ya awali kabisa kuhusu kupigwa bomu kwa msikiti wa pili wa Shia huko Dammam, Jimbo la Mashariki mwa Saudi Arabia, siku...