· Februari, 2014

Habari kuhusu Utawala kutoka Februari, 2014

Rais Yanukovych wa Ukraine ang'olewa madarakani

Baada ya maandamano, vurugu na upinzani dhidi ya serikali uliosababisha vifo vya watu wapatao 100, Bunge la Ukraine hatimaye limepiga kura ya kumwondoa Rais Viktor Yanukovych kama hatua ya kujibu...

24 Februari 2014

Pongezi kwa Waziri Mkuu Mpya wa Nepal

Bunge la Nepal limemchagua Bw. Sushil Koirala (75), rais wa chama cha Nepali Congress, kuwa Waziri Mkuu wa Nepal. Mwanablogu wa NNepali aishiye ughaibuni Indra anampongeza Waziri Mkuu mpya na...

23 Februari 2014