Rais Yanukovych wa Ukraine ang'olewa madarakani

Baada ya maandamano, vurugu na upinzani dhidi ya serikali uliosababisha vifo vya watu wapatao 100, Bunge la Ukraine hatimaye limepiga kura ya kumwondoa Rais Viktor Yanukovych kama hatua ya kujibu shinikizo la waandamanaji.

Tayari Rais Yanukovych amenukuliwa akisema hana mpango wa kutoroka nchi.

Soma zaidi kupitia kiungo hiki [en]

1 maoni

  • Kiungo cha makala haya kutokea kwenye tovuti nyingine: Rais Yanukovych wa Ukraine ang'olewa madarakani | TravelSquare

    […] Rais Yanukovych wa Ukraine ang'olewa madarakani Baada ya maandamano, vurugu na upinzani dhidi ya serikali uliosababisha vifo vya watu wapatao 100, Bunge la Ukraine hatimaye limepiga kura ya kumwondoa Rais Viktor Yanukovych kama hatua ya kujibu shinikizo la waandamanaji. Tayari Rais Yanukovych amenukuliwa akisema hana mpango wa kutoroka nchi. Soma zaidi kupitia kiungo hiki [en] Imeandikwa na Christian Bwaya · maoni (0) Tuma: facebook · twitter · googleplus · reddit · StumbleUpon · delicious … Kusoma makala kamili  »  https://sw.globalvoicesonline.org/2014/02/rais-yanukovych-wa-ukraine-angolewa-madarakani/ […]

jiunge na Mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.