· Aprili, 2009

Habari kuhusu Utawala kutoka Aprili, 2009

Irani: Mwaka Mpya Waanza na Ujumbe Kutoka Kwa Obama

  10 Aprili 2009

Siku Wairani waliposherehekea Norouz (Nowruz) kama sikukuu ya mwaka mpya nchini Irani, raisi wa Marekani Barak Obama alituma ujumbe kwa watu wa Irani na kwa viongozi wa Jamhuri ya kiislamu, ujumbe huo ulitoa rai ya kutaka mwanzo mpya kati ya nchi hizo mbili. Wanablogu kadhaa wametoa maoni kuhusu ujumbe huo, angalia baadhi ya maoni hayo.