· Julai, 2013

Habari kuhusu Utawala kutoka Julai, 2013

India: Chakula Chenye Sumu Chaua Watoto 24

Chakula kilichoua wanafunnzi na kuwaacha wengine katika hali mbaya kinasadikiwa kuwa kilichanganyikana na dawa ya kuulia wadudu. Tukio hili linaibua maswali kuhusiana na ubora wa chakula cha mchana wanachopewa wanafunzi wanaotoka katika familia masikini.

18 Julai 2013

Benin: Kampeni ya Kusaka Wahalifu Yawagawa Wananchi

Ikiwa imezinduliwa na wizara ya Mambo ya Ndani, Ulinzi wa Umma na Dini, kampeni ya Djakpata yenye lengo la kuwasaka wahalifu wote wanaojihusisha na shughuli zisizo halali ambazo zinaweza kuhatarisha hali ya utulivu ya wananchi wa Benin. Hata hivyo, kwa siku chache zilizopita, wananchi wamekuwa na maoni tofauti sana kuhusu jambo hili.

7 Julai 2013