Habari kuhusu Utawala kutoka Julai, 2013
Maandamano ya Kudai Uchaguzi nchini Madagaska Yasababisha Vurugu
Blogu ya Vola R ya Ma-Laza inaandika kwamba watu 7 walijeruhiwa [fr] kufuatia matumizi ya nguvu yaliyofanywa na polisi dhidi ya waandamanaji waliokuwa wanadai kufanyika kwa uchaguzi mjini Antananarivo, Madagaska. Chama...
India: Chakula Chenye Sumu Chaua Watoto 24
Chakula kilichoua wanafunnzi na kuwaacha wengine katika hali mbaya kinasadikiwa kuwa kilichanganyikana na dawa ya kuulia wadudu. Tukio hili linaibua maswali kuhusiana na ubora wa chakula cha mchana wanachopewa wanafunzi wanaotoka katika familia masikini.
Watu Sitini Wauawa Kwenye Mapigano Mjini Nzérékoré, Guinea
Tovuti ya Guinee News inaripoti idadi ya vifo kufikia 60 kutokana na mauaji ya Nzérékoré, Guinea [fr] : Les cinquante deux corps qui étaient non identifiables ont été enterrés dans une...
Iran: Je, Ufunguo wa Rais Mpya “Utafungua” Tatizo Lolote?
Alama ya kampeni za Rouhani ilikuwa ni Ufunguo. Kwa sasa, raia wa mtandaoni wa Iran wanajadili kama Rouhani ataweza kufungua kila kifungio.
Benin: Kampeni ya Kusaka Wahalifu Yawagawa Wananchi
Ikiwa imezinduliwa na wizara ya Mambo ya Ndani, Ulinzi wa Umma na Dini, kampeni ya Djakpata yenye lengo la kuwasaka wahalifu wote wanaojihusisha na shughuli zisizo halali ambazo zinaweza kuhatarisha hali ya utulivu ya wananchi wa Benin. Hata hivyo, kwa siku chache zilizopita, wananchi wamekuwa na maoni tofauti sana kuhusu jambo hili.