Habari kuhusu Habari za Hivi Punde
Televisheni ya Taifa Urusi Yahariri Wikipedia Kuibebesha Ukraine Lawama kwa Kuanguka MH17
Mtu mmoja wa televisheni ya Taifa Urus, VGTRK, amehariri makala ya kamusi elezo ya Wikipedia kuhusu kuanguka kwa ndege ya Malaysia MH17 ili kuibebesha Kyiv lawama.
Mvua ya Moto Inanyesha Gaza: Israeli Yaanza Shambulio la Ardhini
Wa-Palestina wanasema mvua ya moto inanyesha Gaza, baada ya Israeli kuanza operesheni ya ardhini kwenye ukanda wa Gaza usiku huu
Israel Yaanza Operesheni ya Ardhini Gaza
Vikosi vya kijeshi vya Israeli vimeanza kuingia Gaza, baada ya siku kumi za mapigano yaliyogharimu maisha ya wa-Palestina 200. Hatua hiyo inafuatia Hamas kukataa pendekezo la kusitisha mapigano lililotolewa na Misri.
Je, Ujumbe wa Shirika la Ndege la Singapore Baada ya Ndege MH17 Kuanguka Haukuwa wa Kiugwana??
Baada ya habari kufahamika kwamba ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH17 imeanguka mashariki mwa Ukraine, Shirika la Ndege la Singapore liliweka ujumbe huu kwenye mtandao wa Facebook na Twita: Customers may wish to note that Singapore Airlines flights are not using Ukraine airspace. — Singapore Airlines (@SingaporeAir) July...
Matamshi Matano ya Kushangaza Kufuatia Kuanguka kwa Ndege MH17 Nchini Ukraine
Wakati kukiwa na hisia zinazozidi kuongezeka kufuatia kuanguka kwa ndege nchi Ukraine, matamshi kadhaa yaliyotolewa na watu maarufu Moscow na Donetsk yamevuta hisia za watu
Wamalaysia kwenye Ndege MH17 Iliyoanguka: “Bila Kujali Utaifa, Tuko Pamoja Kuomboleza””
Ndege ya Shirika la Malaysia MH17, iliyokuwa ikisafiri kutoka Amsterdam kwenda Kuala Lumpur, imeanguka mashariiki mwa Ukraine Alhamisi jioni. Ndege hiyo ilikuwa na abiria 298 pamoja na wafanyakazi
Ni Rasmi Sasa, ‘Shoga’ wa Kwanza Kuteuliwa Kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Nchini Puerto Rico
Wakati wengine wakina kuwa usagaji wake si suala la maana, wengine wanasisitiza kuwa hali hiyo ya kimapenzi inahusika katika kile anachokifanya kila siku.
Maandamano ya Kudai Haki ya Kubusu na Barua ya Haki za Mashoga Nchini Cuba
Maandamano ya pili ya Kubusiana ili kutetea Tofauti na Usawa yamefanyika Jijini Havana mwaka huu wakati ambao Mashoga kipindi chenye changamoto kwa Mashoga katika kisiwa hicho.
Hadithi ya Wakimbizi wa Njaa kutoka Niger katika Algeria Mashariki
Katika wiki chache zilizopita, mamia ya wahamiaji mwa Jangwa la Sahara kutoka Mali au Niger wamehamia miji ya Algeria katika mpaka wa Mashariki. Liberté Algérie anasimulia hadithi ya wale ambao waliamua kuhama na kwa nini [fr] Les conditions de vie au hangar de la cité Bourroh sont inhumaines. A l’intérieur...
Maandamano Makubwa Yafanyika huko Guangzhou, China
Mamia ya wakazi wa Guangzhou jana mchana walikusanyika huko Sanyuanli kupinga hatua ya polisi ya kutaifisha mali binafsi za watu kwenye bohari kama sehemu ya harakati za kukabiliana na majanga ya moto. Waandamanaji walijikuta wakikabiliana vikali na polisi, na baadae, wakati wa vurugu hizo, waandamanaji walifikia hatua ya kupindua magari...