· Julai, 2014

Habari kuhusu Habari za Hivi Punde kutoka Julai, 2014

Israel Yaanza Operesheni ya Ardhini Gaza

Vikosi vya kijeshi vya Israeli vimeanza kuingia Gaza, baada ya siku kumi za mapigano yaliyogharimu maisha ya wa-Palestina 200. Hatua hiyo inafuatia Hamas kukataa pendekezo la kusitisha mapigano lililotolewa na Misri.

18 Julai 2014