Habari kuhusu Habari za Hivi Punde kutoka Januari, 2015
Bunge Lililoteuliwa na Jeshi la Thailand Lapiga Kura ya Kutokuwa na Imani na Waziri Mkuu
Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Yingluck Shinawatra amepigiwa kura ya kutokuwa imani naye kwa 'kosa' la kutekeleza mpango wa kununua mchele unaokosolewa kwa kuliletea hasara na matatizo taifa hilo
Watu 36 Wauawa, Mtandao wa Intaneti Wafungwa Kongo DRC Kufuatia Maandamano ya Kumpinga Rais Kabila
Ghasia na mapigano kati ya Polisi na waandamanaji wanaopinga hatua ya Kabila kurekebisha sheria ya uchaguzi vimesababisha kuuawa kwa watu 36 nchini Kongo DRC katika kipindi cha siku chache.