Habari kuhusu Uchaguzi
Wanablogu wa Brazili Wadai Mgombea Urais Anawadhibiti Wakosoaji wake Kwenye Mtandao wa YouTube
Watumiaji wenye majina na historia inayofanana wamedai haki miliki dhidi ya video mbili za You Tube zinazomkosoa Mgombe Urais wa Brazili Aécio Neves.
Waandamanaji Wanaodai Demokrasia Wageuza Hong Kong Kuwa Bahari ya Miamvuli
Yakiwa yamepewa jina la utani la "mapinduzi ya miamvuli" na baadhi ya vyombo vya habari, maandamano ya Hong Kong yatawaliwa na waandamanaji wanaojikinga na mabomu ya kutoa machozi kwa kutumia miamvuli.
Hotuba ya Ushindi ya Rais Mteule wa Indonesia
Rais mteule wa Indonesia Joko Widodo or Jokowi alitoa hotuba ya ushindi akitambua moyo wa kujitolea ulioonyeshwa na wananchi: Uchaguzi huu wa rais umechochea mtazamo mpya chanya kwetu, na kwa taifa letu kwa ujumla. Uhuru wa watu na uwajibikaji wa kisiasa vinashamiri katika nyoyo za kizazi kipya. Moyo wa kujitolea...
Nchini Tunisia, Swali ni Ikiwa ni Lazima Kupiga Kura au Kugomea Uchaguzi
Kadri uchaguzi unavyokaribia nchini Tunisia, watumiaji wa mtandao wanajadili ikiwa uchaguzi huo unastahili kupewa heshima ya kura zao ili kuwachagua wabunge na rais
Sisi Ashinda Uchaguzi wa Rais Misri; Mpinzani Pekee Sabahi Ashika Nafasi ya Tatu
Jenerali Abdel Fattah Al-Sisi ameshinda urais kwa kishindo, huku akimbwaga mpinzani wake wa pekee Hamdeen Sabahi, ambaye ameshika nafasi ya tatu. Baada ya siku tatu za zoezi la upigaji kura, Sisi ameshinda kwa asilimia 93.3 ya kura zote. Hamdeen alipata asilimia 3 wakati asilimia 3.7 zimeharibika.
Naibu Waziri Ajinyonga baada ya Kushindwa Uchaguzi Nchini Malawi
Blogu ya City Press inaandika kwamba kujinyonga kwa Godfrey Kamanya, Naibu Wairi wa Malawi, baada ya kushindwa kukitetea kiti chake cha ubunge kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Mei 20, 2014 : Matangazo rasmi ya uchaguzi huo uliofanyika Jumanne bado yanaendelea kutangazwa. Lakini matokeo ya awali ya uchaguzi huo yaliyotangazwa na kituo cha redio yalionyesha...
Uchaguzi wa Malawi 2014
Malawi inapiga kura kumchagua rais siku ya Jumanne Mei 20, 2014. Fuatilia taarifa za moja kwa moja kwenye mtandao wa Twita @Malawi2014 na @MEIC_2014.
Wakati Mgogoro wa Kisiasa Ukikolea: Thailand Kufanya Uchaguzi Mwingine Mwezi Julai
Kwa sababu ya kushindwa kwa uchaguzi wa mwezi Februari kutatua mgogoro wa kisiasa nchini Thailand, uchaguzi mwingine umepangwa kufanyika Julai 20. Lakini je, upinzani utasusia kwa mara nyingine?
Changamoto ya Kuhuisha Orodha ya Wapiga Kura
Uchaguzi mkubwa zaidi duniani uko mbioni nchini India na mwanablogu Anuradha Shankar kwenye blogu yake ya “A Wandering Mind” anabainisha changangamoto halisi za kuboresha daftari la wapiga kura tayari kwa matumizi.
Kampeni ya ‘Piga Kura ya Hapana’ Yawahamasisha Waafrika Kusini Kuvitelekeza Vyama Vikubwa
Kikundi cha wanasiasa kimezindua kampeni ya "Amka! Tumechoshwa! mnamo April 15, 2014 wakati uchaguzi wa nchi hiyo umekaribia.