Habari kuhusu Uchaguzi
Fuatilia Uchanguzi wa Kihistoria Kuwahi Kutokea Nchini Tanzania
"Lowassa ni Robin Hood wa Kimasai. Au El Chapo wa Kitanzania. Itazame mikono aishikayo na siyo vidole avikanyagavyo."
Alama ya #AchaHofu Yatumika Kufuatilia Uchaguzi wa Mexico
Wakati wa uchaguzi wa Jumapili iliyopita nchini Mexico, taasisi ya kulinda uhuru wa kujieleza, ARTICLE 19 iliendesha kampeni ya #RompeElMiedo (#AchaHofu) kwa lengo la kufuatilia usalama wa waandishi wa habari
Baada ya Maandamano Burkina Faso na Burundi, Naija na Togo Zinafuata?
Wanaija 20,000 wameingia mitaani mjini Niamey, Naija mnamo Juni, 6. Kuna ababu nyingi za maandamano hayo: umaskini uliokithiri, utawala mbovu na kubanwa kwa uhuru wa kujieleza yakiwa ni moja wapo ya malalamiko ya asasi za kiraia nchini humo. Maandamano kama haya yalitokea katika nchi za Burkina Faso, Burundi na Togo....
Muda Gani Umebaki kwa ‘Marais wa Maisha’ Barani Afrika?
Matukio nchini Burundi na nchi nyinine kama Kongo (DRC), Burkina Faso na Rwanda yameendeleza mjadala wa muda mrefu barani Afrika kuhusu ukomo wa madaraka
Tunayoyajua na Tusiyoyajua Baada ya Jaribio la Mapinduzi Nchini Burundi
Celebration and jubilation near Presidential offices in Bujumbura after the overthrow of Nkurunziza. #BurundiCoup pic.twitter.com/WhJzXKfS69 — Robert ALAI (@RobertAlai) May 13, 2015 Shangwe na vifijo karibu na ikulu ya Rais nchini Bujumbura baada ya kupinduliwa kwa Nkurunzisa. Kufuatia nia ya kugombea urais kwa kipindi cha tatu ya Rais wa Burundi...
2015 Mwaka wa Kufanyika Chaguzi Huru na Haki Barani Afrika
Wekesa Sylvanus anataraji kwamba 2015 utakuwa mwaka wa chaguzi huru na haki barani Afrika: https://wekesasylvanus.wordpress.com/2015/02/18/will-2015-be-a-year-of-free-and-fair-elections-in-africa/ Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi barani Afrika, ushindani nyakati za uchaguzi umekuwa suala la kufa na kupona kwenye nchi nyingi za ki-Afrika. Chaguzi barani Afrika ni suala lenye hatari zake na...
Je, Kuahirishwa kwa Uchaguzi Mkuu Naijeria Kunatokana na Sababu za Kiusalama?
Jeshi la Nigeria litaendesha operesheni maalum ya wiki sita dhidi ya Boko Haram ili"kuepusha kuingiliwa na shughuli za uchaguzi." Baadhi ya watu wanatilia shaka kuwa, kuahiririshwa kwa uchaguzi ni mkakati wa kisiasa.
Hofu ya Yaliyotokea? Likizo ya Rais Mpya wa Zambia Yaibua Mjadala wa Afya Yake
Raia wa Zambia wanajiuliza maswali kuhusu afya ya Rais Lungu, pamoja na cheti cha afya kuonesha yu mzima, kufuatia likizo yake majuma mawili tu tangu ashike madaraka kumrithi Michael Sata, aliyefariki akiwa madarakani.
Watu 36 Wauawa, Mtandao wa Intaneti Wafungwa Kongo DRC Kufuatia Maandamano ya Kumpinga Rais Kabila
Ghasia na mapigano kati ya Polisi na waandamanaji wanaopinga hatua ya Kabila kurekebisha sheria ya uchaguzi vimesababisha kuuawa kwa watu 36 nchini Kongo DRC katika kipindi cha siku chache.
GV Face: ‘Tupige Kura au Tusipige'? Sauti za Raia wa Tunisia Katika Uchaguzi Unaokaribia
Zaidi ya wagombea 9,000 wa vyama zaidi ya 100 wanagombea kwenye uchaguzi wa mwaka huu