· Julai, 2010

Habari kuhusu Uchaguzi kutoka Julai, 2010

Naijeria: Nani Amemfanya Rais Abadili Msimamo — Facebook au FIFA?

Baada ya kupokea mamia ya maoni kwenye ukurasa wake wa Facebook page, Rais wa Naijeria alibadili uamuzi wake tata wa kuifungia timu ya taifa ya nchi hiyo. Lakini je ni kweli kwamba kubadilika huku kwa moyo wa Jonathan kulitokana na maoni ya raia waliopaaza sauti zao zenye hasira katika Facebook? Au ulitokana na msukumo wa shirikisho lenye nguvu la mpira wa miguu?

13 Julai 2010