Habari kuhusu Sheria
Mkutano wa Wapoland Kudai Mahakama Huru Dhidi ya Marekebisho Yanayofanywa na Chama Tawala
"Mkutano wa demokrasia nchini Poland unaendelea...Mishumaa ni alama ya matumaini ya uhuru na mustakabali bora zaidi."
Hatua ya Seneta wa Ufilipino Kufanya ‘Habari Potofu’ Ziwe Jinai — Hii Haitamaanisha Kudhibitiwa kwa Habari?
"Unatofautishaje kati ya taarifa ya uongo iliyotokana na kosa la kibinadamu na ile inayosambazwa kwa nia mbaya kupitia magazeti, matangazo au mtandaoni?"
Makosa ya Uhalifu wa Mtandaoni dhidi ya Mwanzilishi wa Kampeni ya Jeshi la Manyanga Yafutwa
Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Seriakali ya Jamaica amemfutia mashitaka yote matatu yaliyokuwa yakimkabili mwanaharakati La Toya Nugent, chini ya sheria ya nchi ya makosa ya uhalifu wa Mtandaoni.
Kikundi cha ki-Islam Chadai Kuondolewa kwa Sanamu Mbele ya Mahakama Kuu Nchini Bangladesh
Mamlaka zimepewa chini ya juma moja kufanyia kazi madai ambayo wakuu wa serikali na watumiaji wa wanayaona kama hayana maana
China Kufungia Kutolewa kwa Huduma ya Mitandao Binafsi ya Intaneti
Serikali ya China imefungia baadhi ya huduma za VPN China tangu 2015, lakini sera mpya inafanya kutumia VPN na huduma za intaneti zisizosajiliwa kuwa kosa
Kama Ningekuwa na Bunduki
"Ninapofikiria nyakati kama hizi niliposhambuliwa au kuona mashambulizi, siwezi kufikiri hata mara moja namna gani silaha ingefanya matokeo yawe mazuri zaidi"
Hofu ya Mkono wa Sheria? Kujitafutia Uhuru? Raia wa Gambia Wahoji Nchi yao Kujiondoa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai
"Kikwazo!! #Gambia yajiondoa ICC. Hii ni kutokana na hofu ya dikteta kwamba waziri wake wa ndani wa zamani atamponza katika kupata hifadhi"
Urusi Inadaiwa Kuwa na Mpango wa Kuufungia Mtandao wa LinkedIn
LinkedIn, mtandao mkubwa zaidi unaowaunganisha wataalaam duniani kote, uko hatarini kufungiwa nchini Urusi, ambako wapelelezi wa serikali wamefanikiwa kuishawishi mahakama moja mjini Moscow kuufungia mtandao huo.
Video ya Katuni Yafafanua Mamlaka ya Mahakama ya Kiafrika katika Kulinda Haki na Binadamu na Raia
Huna hakika mahakama hiyo hufanya kazi gani? Video hii inaweza kusaidia.
Sri Lanka Yaingia Hasara Kufidia Gharama za Matumizi Mabaya ya Serikali
Kiasi kikubwa cha fedha kilichotumika kuvunja mkataba wa manunuzi ya ndege mpya za Airbus kingetumika kwa mambo mengine mengi.