· Februari, 2009

Habari kuhusu Uhuru wa Kujieleza kutoka Februari, 2009

Kampuchea: Vikwazo Vya Intaneti Vyalenga Wasanii

Wizara ya Masuala ya Wanawake nchini Kampuchea imetishia kuizuia tovuti yenye michoro ya wacheza ngoma ya Apsara walio vifua wazi pamoja na mwanajeshi wa Khmer Rouge. Uchujwaji wa habari wa namna hii unawalenga wasanii wanaotambulika zaidi kwa uwepo wao katika mtandao wa intaneti.

4 Februari 2009