Habari kuhusu Uhuru wa Kujieleza kutoka Septemba, 2020
Machapisho Katika Kurasa za Facebook Zachochea Ongezeko la Watu Kukamatwa Huko Bangladesh, Wavuti Waingiwa na Wasiwasi
Watu wawili walikamatwa Mei 14 na 15, kwa sababu ya maoni waliyobandika Facebook. Kukamatwa kwao kumeamsha hasira na wasiwasi katika mitandao ya kijamii huko Bangladesh.
Waandishi Wa Habari wa Msumbiji Waachiwa Huru Baada ya Kukaa Kizuizini Kwa Miezi Kadhaa Bila Kufunguliwa Mashtaka
Amade Abubacar na Germano Adriano walikuwa kizuizini tangu Januari lakini walishtakiwa tu hapo Aprili 16. Kwa sasa wanasubiri shauri lao lisikilizwe wakiwa chini ya uangalizi.