Habari kuhusu Ulaya Magharibi kutoka Machi, 2014
Kurudisha Mabaki ya Miili ya Binadamu tu Haitoshi, Ombeni Radhi, Namibia Yaiambia Ujerumani
Mabaki ya watu waliouawa wakati wa vita vya kikoloni (kwenye karne ya 20) yalirudishwa Namibia na Ujerumani mwezi Machi. Hata hivyo, Wanamibia bado wanadai tamko rasmi ya kuomba radhi kutoka...
Mazungumzo ya GV: Namna ya kushinda Ufadhili wa Miradi Midogo ya Rising Voices

Je, unalo wazo la kuisaidia jamii yako kusimulia habari zao kupitia mitandao ya kijamii? Kwenye Mazungumzo ya GV timu ya Mradi wa Rising Voices inajadili namna bora ya kushinda shindano la ufadhili wa miradi midogo
Umoja wa Ulaya Wachapisha Utafiti wa Kina Kuhusu Ukatili Dhidi ya Wanawake
Nchi za Ulaya Kaskazini ni miongoni mwa zile zenye kiwango cha juu kabisa cha udhalilishaji wa wanawawake: Denmark (52%), Finland (47%) na Sweden (46%).