Habari kuhusu Guinea kutoka Julai, 2013

Watu Sitini Wauawa Kwenye Mapigano Mjini Nzérékoré, Guinea

  18 Julai 2013

Tovuti ya Guinee News inaripoti idadi ya vifo kufikia 60 kutokana na mauaji ya Nzérékoré, Guinea [fr] : Les cinquante deux corps qui étaient non identifiables ont été enterrés dans une fosse commune hier. Les autres corps reconnaissables ont été remis à leurs familles. miili 52 ambayo haikutambulika ilizikwa kwenye kaburi la...