Habari kuhusu Guinea kutoka Machi, 2014

Mlipuko wa Homa ya Ebola Waua Watu 59 Nchini Guinea

  26 Machi 2014

Mlipuko wa homa ya Ebola umeua watu wasiopungua 59 nchini Guinea na matukio kadhaa yanayohofiwa kuwa ya homa hiyo yamekaribia kwenye mjini mkuu Conakry hiyo ikimaanisha kuwa ugonjwa huo unaweza kuenea kwenye mji mkuu wa Guinea. Barbara Krief anatoa taarifa za hivi karibuni [fr]: Au moins huit agents de santé...