Habari kutoka na

Makampuni ya Teknolojia Nchini Kenya Yaliyofadhiliwa Mwaka 2014

  7 Machi 2015

Je, unayajua makampuni ya teknolojia nchini Kenya yaliyopata ufadhili kwa mwaka 2014? Erik Hersmann anayaorodhesha kwenye blogu yake: Fedha za mtaji wa awali Angani – Huduma za mtandao wa umma wa kompyuta BRCK – Huduma za mtandao wa Si-Waya za WiFi CardPlanet – Mfumo wa malipo kwa njia ya simu...

Shambulio la Kigaidi Laua Watu Watano Mjini Bamako

  7 Machi 2015

Shambuliko la kigaidi lilitekelezwa kwenye mgahawa jijini Bamako, makao makuu ya Mali, limechukua maisha ya watu watano usiku wa siku ya Ijumaa mnamo Machi, 6. Shambulio hilo lilifanyika usiku wa maneno kwenye mkahawa unaoitwa took Terrasse kwenye mitaa ya Bamako na watu zaidi ya kumi wamejeruhiwa vibaya. Washukuiwa wawili wamekamatwa...

2015 Mwaka wa Kufanyika Chaguzi Huru na Haki Barani Afrika

Wekesa Sylvanus anataraji kwamba 2015 utakuwa mwaka wa chaguzi huru na haki barani Afrika: https://wekesasylvanus.wordpress.com/2015/02/18/will-2015-be-a-year-of-free-and-fair-elections-in-africa/ Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi barani Afrika, ushindani nyakati za uchaguzi umekuwa suala la kufa na kupona kwenye nchi nyingi za ki-Afrika. Chaguzi barani Afrika ni suala lenye hatari zake na...

Filamu: ‘Sanaa ya Ama Ata Aidoo’

  17 Februari 2015

The Art of Ama Ata Aidoo ni filamu iliyotayarishwa na mtayarishaji wa filamu Yaba Badoe: The Art of Ama Ata Aidoo, inasaili mchango wa kisanii wa mmoja wa waandishi wanawake mashuhuri barani Afrika, anayeongoza kizazi hiki kwa kipaji kipya cha pekee. Dokumentari hii inasaili safari ya ubunifu ya Ama Ata...

Vijana wa Naija Wacharuka Kufuatia Shambulizi la Boko Haram huko Bosso na Diffa

  8 Februari 2015

Kwa mara ya kwanza, Boko Haram kimetekeleza shambulio kwenye mpaka na Naija na vijana wa ki-Naija hakuweza kuvumilia. Boko Haram walishambulia Bosso na Diffa, miji miwili iliyo kusini mashariki mwa Naija kwenye mpaka wa nchi hiyo na Naijeria lakini walirudishwa nyuma na majeshi ya Chad na Naija. Boko Haram imepoteza...

Boko Haram Yaua Watu Wasiopungua 81 Huko Fotokol, Cameroon Kaskazini

  8 Februari 2015

Mnamo Februari 4, Boko Haram walifanya shambulio baya kwenye mji wa Fotokol Kaskazini mwa Cameroon, baada tu ya kuvuka mpaka wa Naijeria. Mamia wa raia wanahofiwa kupoteza maisha 81 wamethibitika kufa na Wizara ya Ulinzi. Shirika la Haki za Binadamu nchini humo linaamini kwamba karibu watu 370 wameuawa. Mashuhuda wa...