Habari kuhusu Bahrain kutoka Oktoba, 2014
GV Face: Mazungumzo na Mwanaharakati wa Bahrain Ambaye Bahrain Isingependa Tumsikie

Bahrain imeingia mwaka wa tatu ya mapambano na wanaharakati. Taarifa za vyombo vya habari vya Kimataifa zinadai maandamano hayo ni mapinduzi yanayoongozwa na Shia dhidi ya utawala wa Sunni, lakini wanaharakati wanasema hayo ni maelezo mepesi.
Uandishi wa Habari Unapokuwa Haitoshelezi

Andiko la mada ambayo inahitaji majibu yanayokidhi, uandishi wa kizamani unaweza silaha inayofaa
GV Face: Alaa Abd El Fattah na Maryam Al Khawajah Wazungumzia Mgomo wa Kula, Kufungwa na Harakati zao Nchini Misri na Bahrain

Mamia ya wafungwa wa kisiasa wako kwenye mgomo wa kula nchini Misri na Bahrain.