· Aprili, 2013

Habari kuhusu Bahrain kutoka Aprili, 2013

Bahrain: ‘Kususia michezo ya Olimpiki’

  11 Aprili 2013

Wa-Bahraini wengi wanatoa mwito wa kususuia michezo ya Olympics. Kwanza, mwana wa mfalme, ambaye amekuwa akituhumiwa kwa kujihusisha na utesaji wa wanariadha, anahudhuria michezo hiyo. Pili, sehemu kubwa ya timu ya nchi hiyo imetengenezwa na wanariadha wa ki-Afrika.