Habari kuhusu Bahrain kutoka Septemba, 2010
Bahraini: Ali Abdulemam, mwanablogu na mchangiaji wa Global Voices akamatwa
Ali Abdulemam, mwanablogu maarufu wa nchini Bahraini na mwandishi wa Kitengo cha Utetezi cha Global Voices, amekamatwa mapema leo na mamlaka ya nchi ya Bahraini kwa kile anachotuhumiwa nacho kwamba anasambaza “habari za uongo” kupitia mtandao wa BahrainOnline.org, ambao ni moja ya mitandao maarufu zaidi nchini humo inayopigania kuwepo kwa...