Habari kuhusu Bahrain kutoka Julai, 2014
Zaidi ya Habari za Kombe la Dunia: Machozi Brazil, Mabomu Bahrain na Majanga Qatar
Unapaswa kujua zaidi ya kandanda kuelewa mashindano ya Kombe la Dunia. Deji Olukotun anachambua kwa kina masuala ya uhuru wa maoni na haki za binadamu.
Mwanablogu wa Kibahraini Takrooz Akamatwa
Mtumiaji wa mitandao ya kijamii wa Kibahraini Takrooz amekamatwa kwa madai ya "kuchochea chuki dhidi ya utawala" kwenye mtandao wa Twita.