Habari kuhusu Kiingereza kutoka Aprili, 2019
Mamlaka za Tanzania Zamshikilia na Kumfukuza Nchini Kiongozi wa Haki za Binadamu wa Uganda
Shirika la Haki za Binadamu Human Rights Watch linasema Tanzania imeshuhudia kushuka katika uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kukutana" chini ya serikali ya sasa
Mtunga Sheria wa Kike wa Brazili Ashambuliwa Mitandaoni Kwa Kuvaa Nguo Zinazoonesha Maumbile
"Ushiriki wa wanawake wenye jamii ni mdogo kiasi kwamba suala la mavazi linaweza kukuzwa kupindukia."
Mwanaharakati Ahmed Mansoor Aliyefungwa UAE Aendelea na Mgomo wa Kutokula
Mansoor anatumikia miaka kumi jela baada ya mahakama kumhukumu kwa kuchapisha habari za uongo na umbea kwenye mitandao ya kijamii.
Osama Al-Najjar Mwanaharakati wa Falme za Kiarabu ‘Anasota’ Jela Miaka Miwili Zaidi Baada ya Kumaliza Kifungo Chake
Al-Najjar alikamatwa kwa sababu ya ujumbe wa mtandao wa Twita wenye wito wa kuachiwa huru wafungwa wote waliofungwa kwa kutoa maoni Katika Falme za Kiarabu.
Nchini Burundi Kuchorachora Picha ya Rais —ni Kosa la Kukupeleka Jela
"Kama ningefanya katika Burundi ya Nkurunziza, ningeweza kufungwa jela."