Habari kuhusu Kiingereza kutoka Aprili, 2017
Mwanablogu na Mwanaharakati wa Maldives Yameen Rasheed Auawa kwa Kuchomwa na Kitu chenye Ncha Kali
"Ile inayoitwa" Paradiso ya duniani haihakikishii raia wake usalama. Kesho inaweza kuwa ni mimi, wewe au yeyote miongoni mwetu," aliandika mtumiaji mmoja wa Facebook.
Manusura Wasimulia Kuhusu Hatari za Kuhama Kupitia Jangwa la Sahara
"...most migrants wish to forget and move forward with their lives and therefore tend not to share their experience with peers who are still back home."
Wanamazingira wa Siberia Wachoshwa na Mamlaka za Nchini Kwao, Waomba Msaada Kwa Leonardo DiCaprio
In Krasnoyarsk, the third largest city in Siberia, local environmentalists have found their savior: Hollywood star Leonardo DiCaprio.
Wahindi Waomboleza Kifo cha Kishori Amonkar, Mmoja wa Waimbaji Wakubwa Wa Muziki Wa Jadi Nchini India
"Kuna sauti zenye uwezo wa kugusa hisia na Kishori Amonkar ndio sauti hiyo."
‘Kwa nini Siwezi Kumbusu Mpenzi wangu wa Kike Hadharani?’ Simulizi ya Mwanamke Basha wa Armenia
Mwanamke basha aweka bayana historia ya maisha yake na kueleza harakati zake zenye changamoto lukuki za kuwakomboa wasagaji kutoka kwenye jamii ya mfumo dume isiyoamini uhusiano wa kimapenzi wa watu wa jinsia moja.
Wataalam wa Teknolojia Nchini India Wanapambana Kubaini Ujumbe Bandia Unaoenezwa WhatsApp na Facebook
Watumiaji wengi wa mtandao hawafahamu bado namna ya kutofautisha vyanzo halisi vya ujumbe wanaoupokea na vyanzo bandia au hatarishi