Habari kuhusu Kiingereza kutoka Juni, 2017
Vyombo vya Habari Tanzania Vyapotosha Mgogoro wa Serikali na Kampuni ya Madini
Mwenyekiti wa kampuni ya madini Barrick Gold amesema jambo moja, lakini vyombo vya habari vimeandika jambo tofauti kabisa.
Kubaki au Kuondoka Hakutoi Mustakabali wa Wakazi wa Al-Waer Nchini Syria
Waasi pamoja na familia zao wanaihamisha ngome yao kutoka kwenye jiji hili lililobatizwa jina la "Kitovu cha Mapinduzi". Hizi hapa ni baadhi ya simulizi zao.
Jukwaa Hili Limewasaidia Maelfu ya Wahamiaji Kukutana Tena na Familia Zao Nyumbani
Duniani kote, takribani watu miliaoni 65 ambao, kwa sababu moja au nyingine, wamelazimishwa kuyakimbia makazi yao. Jukwaa hili linalenga kukutanisha familia zilizovunjika.