Habari kuhusu Kiingereza kutoka Mei, 2016
‘Biko Zulu’, ‘Wananiita Daktari’ na ‘Hadithi za Mama’ Miongoni mwa Washindi wa Tuzo za Blogu Kenya
Washindi wa Tuzo za Blogu Kenya 2016 walitangazwa katika dhifa maalum iliyofanyika mnamo Mei 14 jijini Nairobi, Kenya.
Jinsi Raia wa Mynmar Wanavyokabiliana na Kupanda kwa Joto Kunakotokana na El Niño
El Niño tayari imeshasababisha ukame katika maeneo mengi ya Myanmar. Fuatilia kujua namna wakazi wanavyokabiliana na joto kali.
Namna Hali ya Hewa ya El Niño Inavyoathiri Maeneo ya Nyanda za Juu Nchini Myanmar
"Ziwa lililopo karibu na kijiji chetu lilikauka miezi miwili iliyopita. Mwaka uliopita, tuliweza kuchota maji katika ziwa hili hadi ilipofika mwezi Machi."
Yaliyojiri Wiki Hii Global Voices: Yeyote ni Kipaumbele?
Wiki hii tunakupeleka hadi China, Mexico, Jamaica, Macedonia na Uganda, ambapo tunaongea na Prudence Nyamishana ambaye anatusimulia ni kwa nini Raia wa Uganda hawakufurahishwa na vipaumbele vya serikali yao.
Mbeki Rais wa Mstaafu wa Afrika Kusini Bado Anaamini ‘Mambo ya Ajabu’ Kuhusu UKIMWI/VVU
Mbeki amekosolewa kwa kuandika barua inayokanusha kwamba hajawahi kusema kuwa 'VVU havisababishi UKIMWI'. "Nilichosema ni kwamba 'virusi hivyo havisababishi upungufu wa kinga'."