Habari kuhusu Ulaya
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Mashujaa Wasiofahamika
Wiki hii, tunaelekea hadi Bosnia na Herzegovina, Japan na Myanmar
Matangazo ya Sauti ya ‘Wiki Ilivyokwenda’ Global Voices: Waliopotea
Wiki hii, tunakupeleka Ecuador, Uganda, Bangladesh, Ukraine na Pakistan.
Yaliyojiri Wiki Hii Global Voices: Yeyote ni Kipaumbele?
Wiki hii tunakupeleka hadi China, Mexico, Jamaica, Macedonia na Uganda, ambapo tunaongea na Prudence Nyamishana ambaye anatusimulia ni kwa nini Raia wa Uganda hawakufurahishwa na vipaumbele vya serikali yao.
Yaliyojiri Wiki Hili Global Voices: ‘Nyaraka za Panama’ ni Kitu Gani?
Katika kipidni hiki, hedhi zatumika kisiasa nchini Poland, wa-Chile wenye asili ya Afrika wadai kutambuliwa nchini Chile, na wadhibiti mtandao nchini China wanafanya juhudi za kuondoa nyaraka za Panama -- hata ikibidi kwenye barua pepe.
Raia wa Iraqi Aliyefanya Kazi ya Ufasiri kwa Jeshi la Marekani Akwama Ugiriki
Umoja wa Ulaya unajiandaa kuwarudisha maelfu ya wakimbizi nchini Uturuki. Mmoja wapo ni kijana aliyefanya kazi na Jeshi la Marekani nchini Iraq.
Umesikia? Podikasti ya Global Voices Imerejea
Baada ya likizo ya miaka mitatu, Podikasti ya Global Voices imerejea. Katika toleo hili, tunakupeleka Mexico, China, Tajikistan, Macedonia and Russia.
GV Face: Kuhusu Beirut na Paris, Kwa nini Majanga Mengine Yanatangazwa Zaidi Kuliko Mengine?
Katika toleo la wiki hii la mazungumzo ya GV, tutajadili rangi, siasa za vifo na miitikio isiyo na usawa yanapotokea majanga duniani kote.
Mitaa ya Paris Inavyonikumbusha Mitaa ya Beirut
"Hatujapata kitufe cha 'salama' kwenye mtandao wa Facebook. Hatujapata salamu za pole usiku wa manane kutoka kwa watu maarufu zaidi duniani pamoja na mamilioni ya watumiaji wa mtandao..."
Muziki Wamsaidia Mwanamke wa Ki-Hindi Kujikwamua Kiuchumi
Tritha Sinah anaongoza bendi iitwayo Tritha Electric. Amekulia Kolkata na anasema muziki umekuwa njia ya kujipatia uhuru wa kifedha.
Raia wa Ufaransa Wastukia Hatari ya Muswada wa Udukuzi
Watetezi wa haki za kiraia wanasema muswada unaokaribia kuwa sheria unaweza kuipa nguvu Ufaransa katika udukuzi wa kimataifa wa mawasiliano ya intaneti.