Habari kutoka na

Picha: Mwonekano wa Maroketi Yakiruka Kwenye Anga la Gaza Kutoka Angani

  25 Julai 2014

Kutoka kwenye anga la mbali, mwanaanga Alexander Gerst anatazama namna Gaza inavyowaka moto. Anatwiti: My saddest photo yet. From #ISS we can actually see explosions and rockets flying over #Gaza & #Israel pic.twitter.com/jNGWxHilSy — Alexander Gerst (@Astro_Alex) July 23, 2014 Picha mbaya sana hii. Kutoka ISS tunaweza kuona milipuko na...

Madege ya Kijeshi ya ki-Palestina Yaruka kwenye Anga la Israel

  15 Julai 2014

Brigedi ya Palestina ya Al Qassam, tawi la kijeshi la Hamas, lilionyesha miundo mitatu ya madege ya kijeshi leo, ikisema kuwa yalirushwa kwenye anga la Israel. Mwandishi Dima Khatib anatwiti: Al Qassam Brigades say they made 3 models of Ababil drones: A1A, A1B, A1C. Pic v @QudsN of A1B during...

Waandishi wa kimataifa Wakashifu Israeli kwa Kuendelea kwa Ujenzi wa Makazi

  9 Julai 2014

Waandishi kumi na sita wa kimataifa ambao walishiriki katika Tamasha la Wapalestina la Fasihi, lililofanyika katika miji kadhaa Palestina kuanzia Mei 31 hadi Juni 5, walitoa taarifa kukashifu Israeli kwa kuendelea kwa ujenzi wa makazi na kupongeza juhudi za kususia kampeni ya Boycott Divest and Sanction (BDS). Taarifa, kupitia mtandao...

Taarifa ya Maendeleo ya Kiteknolojia Barani Afrika

Erik anatushirikisha taarifa 5 kuhusu mwenendo wa teknolojia barani Afrika: Nimeendelea kutamani kuandika makala za blogu kuhusu taarifa hizi moja baada ya nyingine, nyingi zikihusu Afrika, lakini inaonekana sitaweza. Badala yake, nitaweka kiungo cha kila moja wapo, inayoonekana, na maneno machache ya kwa nini ni muhimu kuzisoma. 1. Taarifa ya...

M-Misri Atumia Mtandao wa YouTube Kupinga Kutumikia Jeshi kwa Lazima

  21 Aprili 2014

Mwanaharakati wa Misri ametumia mtandao wa YouTube kuelezea anavyopinga utaratibu wa kulitumikia jeshi kwa lazima kwa raia wenye umri wa miaka kati ya 18 na 30. Katika barua pepe aliyoituma kwa Global Voices mtandaoni, Adam anaandika: Mimi ni Mmisri mwangalifu ninayepinga kwa nguvu zote utaratibu wa kulitumikia Jeshi la Misri...

Urabuni: Hijab na Ubaguzi wa Kimagharibi

  2 Aprili 2014

Mwanablogu wa Mirsi Nadia El Awady anaandika posti ya blogu yake ambapo anahoji kama wanawake wanaovaa Hijabu wanabaduliwa kwenye nchi za magharibi ama la. Nadia, kama Mmisri alikulia Marekani na ameishi kwa kipindi kirefu Ulaya, anaelezea uzoefu wake kuhusu mwitikio alioupata kwenye nchi za Mashariki na Magharibi linapokuja suala la...

Watumiaji wa Huduma ya Tor Waongezeka Nchini Uturuki

  24 Machi 2014

Mtetezi wa haki za binadamu na maadili Frederic Jacobs anabainisha kuwa idadi ya watu wanaotumia huduma ya Tor imeongezeka nchini Uturuki: Matumizi ya huduma ya Tor yako juu. Watu. > 35 000 wamejiunga. Watu zaidi wanatarajiwa kujiunga ndani ya siku chache zijazo. pic.twitter.com/1c7AOflm7h — Frederic Jacobs (@FredericJacobs) Machi 23, 2014 Uturuki...

Saudi Arabia Inadhibiti Majina ya Watoto

  24 Machi 2014

Huruhusiwi kumwita mwanao wa kike majina kama Eman, au Sandy, au Yara. Na kama ni mvulana, majina kama Abdelnasser, Amir au Abdulmoeen hayaruhisiwi. Lakini hiyo si Saudi Arabia pekee. Kwenye mtandao wa twita, Iyad El Baghdadi anaorodhesha majina ya watoto yaliyopigwa marufuku kabisa kwenye ufalme huo: Orodha ya majina yaliyopigwa...