Habari kuhusu Kiingereza kutoka Aprili, 2015
Mpigania Amani wa Uganda awa Miongoni mwa Watakaoshindania Tuzo ya Amani ya Nobeli
This is Uganda (ThisIs256) ni jukwaa la waandishi waliobobea kutoka Uganda walio na utayari wa kuandika habari makini za kuihusu nchi yao, wakilenga kutokomeza uanahabari uchwara, njaa, Ebola, ukabila, pamoja na mambo mengine. Wanachojaribu kukifanya ni kuanzisha aina ya utafiti kuihusu Uganda ambao ni halisi, makini, wa kweli na usio...
Upigaji Kura Unaendelea Tuzo za Blogu Nchini Kenya 2015
Sehemu ya kupiga kura kwenye Tuzo za Blogu Nchini Kenya inaendelea mpaka Aprili 30, 2015: Tuzo za Blogu Nchini Kenya hutafuta kuwatuza wanablogu wanaoandika mara kwa mara, wanaoandika madhui yanayosaidia, na wenye ubunifu na ugunduzi. Tuzo hizi ni jitihada za Chama cha Wanablogu Kenya (BAKE) katika kukuza ubora wa maudhui...
Mbali na Kusikia Habari za Boko Haram Nchini Niger, Fahamu Jangwa la Ténéré
Niger ipo katika vita na Boko Haram. Tusilisahau hili, hata hivyo, Niger ni mahali palipo na miradi mingi na pia ni eneo lililosheheni utajiri mwingi wa asili pamoja na ushairi.
Baada ya Magaidi Kuua Watu Wasiopungua 147, Kulikoni Dunia Haiungani na Kenya?
Shambulio la Charlie Hebdo liliibua simanzi na mshikamano duniani kote, lakini shambulio la kigaidi nchini Kenya halijapewa uzito unaostahili.
Watu 147 Waliouawa Garissa Ni Zaidi ya Takwimu
Watumiaji wa mtandao wa Twita wameanza kutumia alama habari #147notjustanumber kuadhimisha maisha ya wahanga wa shambulio la kigaidi lililotokea kwenye Chuo Kikuu cha Garissa.
Jiandae kwa Mkutano wa MozFest Afrika Mashariki 2015
MozFestEA ni tukio litakalofanyika kuanzia Julai 17 – 19, 2015 kwenye Chuo Kikuu cha Victoria, Kampala, Uganda likiwa na maudhui makuu, “Kutafuta Majibu ya Changamoto za Afrika, kwa pamoja mtandaoni”: MozFest Afrika Mashariki ni tukio la kila mwaka linalowaleta pamoja wataalam wa elmu, wabunifu, wasomi na mafundi wa Afrika Mashariki...